Je! umeridhishwa na hukumu aliyopewa Dominic Ongwen?

Kamanda wazamani wa waasi wa Uganda Dominic Ongwen

Kamanda wazamani wa waasi wa Uganda Dominic Ongwen, asikiza mashtaka dhidi yake ndani ya mahakama ya jinai. Source: AAP

Kamanda wa zamani wa kundi la waasi wa Lords Resistance Army nchini Uganda, LRA Dominic Ongwen amekutwa na hatia ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinaadamu.


Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, ICC imemkuta Ongwen na hatia ya makosa 61 kati ya 70 ya uhalifu ikiwemo mauaji, ubakaji, utumwa wa ngono, ndoa za kulazimisha, utekaji nyara watoto na kuwaandikisha kama wapiganaji, utesaji na mauaji. Ongwen amehukumiwa kifungo cha miaka 25 jela.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service