Je! unakabilianaje na changamoto ya kuwafunza watoto lugha na tamaduni za nyumbani?

Mzazi aeleza Idhaa ya Kiswahili kuhusu umuhimu wa watoto kufunzwa lugha ya nyumbani nchini Australia

Mzazi aeleza Idhaa ya Kiswahili kuhusu umuhimu wa watoto kufunzwa lugha ya nyumbani nchini Australia Source: SBS Swahili

Februari 21 husherehekewa kote duniani kama, siku yakimataifa ya lugha ya mama.


Ila, kwa jamii nyingi zinazo Australia na kawaida huwa zina zungumza lugha isiyo Kiingereza nyumbani, inaweza kuwa changamoto kubwa kuhakikisha watoto wanao zaliwa nchini Australia, wana zungumza lugha zao za asili pamoja nakudumisha tamaduni zao.

Monica ni mwalimu mkuu wa shule ya Kiswahili katika mji wa Newcastle, jimboni New South Wales. Ali eleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS kuhusu jinsi shirika lake hukabiliana na changamoto zakufunza watoto Kiswahili nchini Australia.

Bonyeza hapo juu kwa makala kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Je! unakabilianaje na changamoto ya kuwafunza watoto lugha na tamaduni za nyumbani? | SBS Swahili