Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je! unakabilianaje na changamoto ya kuwafunza watoto lugha na tamaduni za nyumbani?

Mzazi aeleza Idhaa ya Kiswahili kuhusu umuhimu wa watoto kufunzwa lugha ya nyumbani nchini Australia

Mzazi aeleza Idhaa ya Kiswahili kuhusu umuhimu wa watoto kufunzwa lugha ya nyumbani nchini Australia Source: SBS Swahili

Februari 21 husherehekewa kote duniani kama, siku yakimataifa ya lugha ya mama.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Februari 21 husherehekewa kote duniani kama, siku yakimataifa ya lugha ya mama.


Ila, kwa jamii nyingi zinazo Australia na kawaida huwa zina zungumza lugha isiyo Kiingereza nyumbani, inaweza kuwa changamoto kubwa kuhakikisha watoto wanao zaliwa nchini Australia, wana zungumza lugha zao za asili pamoja nakudumisha tamaduni zao.

Monica ni mwalimu mkuu wa shule ya Kiswahili katika mji wa Newcastle, jimboni New South Wales. Ali eleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS kuhusu jinsi shirika lake hukabiliana na changamoto zakufunza watoto Kiswahili nchini Australia.

Bonyeza hapo juu kwa makala kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now