Siku moja inasalia kwa vijana wa A-League All Stars, kukabiliana na wakali wa ligi kuu ya Uhispania FC Barcelona mjini Sydney, Australia.
Misimu ya ligi hizo mbili ime isha hivi karibuni na nyota wa FC Barcelona walitua mjini Sydney, masaa machache yaliyo pita. Je! nyota hao wata ipa uzito inayo stahili au, itakuwa ni mteremko dhidi ya wapinzani wao ambao hawana uzoefu mkubwa dhidi ya wachezaji bora kama wale wa FC Barcelona.
Mchambuzi wetu wa michezo George Kosgey, ametuwekea wazi nguvu na udhaifu wa timu zote mbili. Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






