Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je! Watanzania wana deni la JPM?

Rais Dkt Magufuli akagua bidhaa katika soko la Ferry

Rais Dkt Magufuli akagua bidhaa katika soko la Samaki Ferry, Dar es Salaam, Tanzania Source: Lemutuz Blog

Watanzania wanao ishi nchini Australia wali ungana na watanzania kote duniani, katika ibada maalum yakutoa heshima zao kwa hayati Dkt John Pombe Magufuli.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Watanzania wanao ishi nchini Australia wali ungana na watanzania kote duniani, katika ibada maalum yakutoa heshima zao kwa hayati Dkt John Pombe Magufuli.


Baadhi ya walio hudhuria ibada hiyo walizungumzia, kazi na maendeleo ambayo hayati Magufuli alileta nchini Tanzania, katika muda wa miaka mitano na miezi michache aliyo ongoza taifa hilo la Afrika Mashariki.

Je! watanzania wana deni lakuendeleza kazi za maendeleo aliyo anzisha hayati Magufuli?

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now