Jean: "Wahutu walio okoa maisha ya watutsi nimashujaa"

Mishumaa yawashwa kuwakumbuka wa Tutsi walio uawa katika mauaji ya kimbari Rwanda

Mishumaa yawashwa kuwakumbuka wa Tutsi walio uawa katika mauaji ya kimbari Rwanda Source: kwibuka.rw

Jamii yawanyarwanda wanao ishi Sydney, Australia walijumuika kwa ibada maalum kuwambuka walio uawa katika mauaji yakimbari dhidi yawatutsi nchini Rwanda.


Moja ya swala ambalo mara nyingi huwa halijadiliwi katika wakati wamakumbusho wa mauaji hayo, ni baadhi ya jamii yawa Hutu walio weka maisha yao hatarini kwa kuwaficha wa Tutsi waliokuwa wakisakwa wakati wa mauaji yakimbari nchini Rwanda.

Punde baada ya ibada hiyo, SBS Swahili ilizungumza na mmoja wa wanachama wajamii hiyo, aliye funguka kwa mapana na marefu kuhusu ibada hiyo pamoja na matukio wakati wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service