Jeki yaufadhili yatolewa kuziba pengo kwa wanafunzi wakiafrika

Biong Deng Biong - SBS

Biong Deng Biong - SBS Source: SBS

Zaidi ya shule ishirini ambazo zina wanafunzi wengi walio hamia nchini kutoka nchi zakiafrika, zinatarajia kupokea jeki ya uwekezaji yenye thamani yamamilioni ya dola.


Hela hizo zitawekezwa katika miradi mipya ya misaada pamoja na wafanyakazi wa ziada, kwa ajili yakuwaelekeza wanafunzi katika njia ya mafanikio ndani ya nchi yao mpya.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service