Zaidi ya shule ishirini ambazo zina wanafunzi wengi walio hamia nchini kutoka nchi zakiafrika, zinatarajia kupokea jeki ya uwekezaji yenye thamani yamamilioni ya dola.
Hela hizo zitawekezwa katika miradi mipya ya misaada pamoja na wafanyakazi wa ziada, kwa ajili yakuwaelekeza wanafunzi katika njia ya mafanikio ndani ya nchi yao mpya.
Share





