epa10281406 Kenya Defence Forces (KDF) soldiers pray during a flag presentation ceremony by Kenya's President William Ruto, before their deployment to the Democratic Republic of Congo (DRC) as part of the East Africa Community Regional Force (EARDC) at the Embakasi Garrison in Nairobi, Kenya, 02 November 2022. Deployment of Kenyan troops to the DRC follows a decision endorsed and adopted by regional leaders at the third East Africa Community Heads of State conclave on Peace and Security in eastern DRC, held in Nairobi in June 2022. The Conclave agreed to have the EARDC to quell a flare up of violence in the Eastern DRC. EPA/DANIEL IRUNGU Source: EPA / DANIEL IRUNGU/EPA
Kenya inaongoza kikosi cha jeshi la Afrika Mashariki kinacho chukua nafasi ya vikosi vya Umoja wa Mataifa, ambavyo kwa sasa vinashika doria katika Jamhuri yakidemokrasia ya Congo.
Kenya inaongoza kikosi cha jeshi la Afrika Mashariki kinacho chukua nafasi ya vikosi vya Umoja wa Mataifa, ambavyo kwa sasa vinashika doria katika Jamhuri yakidemokrasia ya Congo.
Miongo ya vurugu katika kanda hilo ambayo haina ishara yamaboresho imeharibu uaminifu wa vikosi vya Umoja wa Mataifa kwa mtazamo wa watu wa Congo.
Kikosi hicho cha kanda ya Afrika Mashariki, kita leta wanajeshi kutoka nchi nne na kita kabiliana na vikundi vingi vyenye silaha, haswa kundi tata la M23, ambalo ni maarufu katika kanda hilo kwa vurugu yake dhidi ya raia.
Rwanda inaendelea kudai kuwa ina laumiwa bila kosa kwa matatizo hayo.
Ila Kivu ni nyumbani pia kwa rasilimali nyingi za madini, ambazo zinazo tumiwa vibaya na M23 pamoja na makundi mengine kupitia vurugu mbaya.
Mauaji, ubakaji na ukeketaji ni kawaida Congo, hivyo vyote hutumiwa kukandamiza umma nakupora eneo hilo kulingana na Kinshasa kwa faida ya Rwanda.
Hii ndiyo hali ambayo Kenya nawashiriki wake, wanajihusisha nayo kwa sasa.