Utafiti unaonesha kuwa wanawake nchini Australia kutoka mazingira ya uhamiaji, wanauwezekano mkubwa wakutopata ajira inayostahili, kutolipwa mishahara inayo stahili au huenda wanaujuzi wajuu zaidi kuliko ajira zao.
Shirika la habari la SBS lilizungumza na wanawake wawili wajasiriamali ambao, kupitia kuanzisha biashara zao binafsi wana jihakikishia uhuru wao wakiuchumi.
Share





