Leo jumapili ilikuwa siku nyingine ya kampeni kali, ambako chama cha mseto kili ahadi kutoa ajira pamoja nakuimarisha uchumi.
Wakati huo huo, chama cha Labor kime ahidi majimbo dola bilioni 2.8 za ziada, katika uwekezaji wa afya.
Chama cha Greens nacho kina jiandaa kuanza kampeni yake wiki ijayo, wakati ambapo vyama viwili vikubwa nchini vitachukua likizo fupi katika harakati za kampeni ya uchaguzi.
Share






