John Kamau "Tuna tarajia serikali mpya iboreshe mfumo mzima wa afya"

Anthony Albanese kiongozi wa chama cha Labor na Richard Marles naibu kiongozi wa Labor kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu wa Australia.

Source: AAP / LUKAS COCH/AAPIMAGE

Jamii zawatu wenye asili ya Afrika Mashariki wanao ishi Kusini Australia, walishiriki katika zoezi lakuchagua viongozi wakitaifa katika uchaguzi mkuu siku chache zilizo pita.


John Kamau ni afisa wa umma katika shirika la KASA, shirika hilo huwakilisha nakuwahudumia watu wenye asili ya Kenya wanao ishi Kusini Australia.

Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, alifunguka kuhusu sera za vyama tofauti zilizo washawishi baadhi ya wanachama wa shirika lake walipo ingia ndani ya vituo vyakupigia kura siku ya uchaguzi mkuu.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
John Kamau "Tuna tarajia serikali mpya iboreshe mfumo mzima wa afya" | SBS Swahili