Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

John Kamau "Tuna tarajia serikali mpya iboreshe mfumo mzima wa afya"

Anthony Albanese kiongozi wa chama cha Labor na Richard Marles naibu kiongozi wa Labor kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu wa Australia.

Jamii zawatu wenye asili ya Afrika Mashariki wanao ishi Kusini Australia, walishiriki katika zoezi lakuchagua viongozi wakitaifa katika uchaguzi mkuu siku chache zilizo pita.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Jamii zawatu wenye asili ya Afrika Mashariki wanao ishi Kusini Australia, walishiriki katika zoezi lakuchagua viongozi wakitaifa katika uchaguzi mkuu siku chache zilizo pita.


John Kamau ni afisa wa umma katika shirika la KASA, shirika hilo huwakilisha nakuwahudumia watu wenye asili ya Kenya wanao ishi Kusini Australia.

Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, alifunguka kuhusu sera za vyama tofauti zilizo washawishi baadhi ya wanachama wa shirika lake walipo ingia ndani ya vituo vyakupigia kura siku ya uchaguzi mkuu.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now