Jamii zawatu wenye asili ya Afrika Mashariki wanao ishi Kusini Australia, walishiriki katika zoezi lakuchagua viongozi wakitaifa katika uchaguzi mkuu siku chache zilizo pita.
John Kamau ni afisa wa umma katika shirika la KASA, shirika hilo huwakilisha nakuwahudumia watu wenye asili ya Kenya wanao ishi Kusini Australia.
Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, alifunguka kuhusu sera za vyama tofauti zilizo washawishi baadhi ya wanachama wa shirika lake walipo ingia ndani ya vituo vyakupigia kura siku ya uchaguzi mkuu.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






