Joto la kampeni ya uchaguzi wa rais laongezeka Tanzania

Rais Magufuli acheza pamoja na wasanii katika kampeni ya urais Dodoma

Rais Magufuli acheza pamoja na wasanii katika kampeni ya urais Dodoma Source: CCM Tanzania

Kampeni za uchaguzi wa rais zime anza rasmi nchini Tanzania, ambako vyama husika vime anza kuuza sera zao kwa kina.


Rais Magufuli, aliongoza chama chake (Chama Cha Mapinduzi (CCM)) katika uzinduzi rasmi wa kampeni ya uchaguzi mkuu mjini Dodoma, ambako maelfu yawanachama wa CCM walijumuika katika hafla hiyo.

Mwandishi wetu Jason Nyakundi alifuatilia uzinduzi huo, nakutuandalia makala haya.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Joto la kampeni ya uchaguzi wa rais laongezeka Tanzania | SBS Swahili