Kampeni za uchaguzi wa rais zime anza rasmi nchini Tanzania, ambako vyama husika vime anza kuuza sera zao kwa kina.
Rais Magufuli, aliongoza chama chake (Chama Cha Mapinduzi (CCM)) katika uzinduzi rasmi wa kampeni ya uchaguzi mkuu mjini Dodoma, ambako maelfu yawanachama wa CCM walijumuika katika hafla hiyo.
Mwandishi wetu Jason Nyakundi alifuatilia uzinduzi huo, nakutuandalia makala haya.
Share





