Justin "Covid ilisaidia watu wengi kujitambulisha katika jamii yawakenya Victoria"

Justin Njuguna, Mwenyekiti wa Jumuiya yawa Kenya, Victoria.jpg

Ni kawaida kwa wahamiaji na watu walio wasili Australia kama wakimbizi, kujiunga na vikundi vya jumuiya za asili yao.


Justin Njuguna ndiye kiongozi wa jumuiya yawa Kenya wanao ishi Victoria.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, alitueleza hatua alizo piga katika safari yake ya uongozi wa jumuiya hiyo, kuanzia alipokuwa mweka hazina hadi aliposhinda uchaguzi wakuwa mwenyekiti wa jumuiya hiyo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service