Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Justin "Covid ilisaidia watu wengi kujitambulisha katika jamii yawakenya Victoria"

Justin Njuguna, Mwenyekiti wa Jumuiya yawa Kenya, Victoria.jpg

Ni kawaida kwa wahamiaji na watu walio wasili Australia kama wakimbizi, kujiunga na vikundi vya jumuiya za asili yao.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Ni kawaida kwa wahamiaji na watu walio wasili Australia kama wakimbizi, kujiunga na vikundi vya jumuiya za asili yao.


Justin Njuguna ndiye kiongozi wa jumuiya yawa Kenya wanao ishi Victoria.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, alitueleza hatua alizo piga katika safari yake ya uongozi wa jumuiya hiyo, kuanzia alipokuwa mweka hazina hadi aliposhinda uchaguzi wakuwa mwenyekiti wa jumuiya hiyo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now