Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kaikai:"Moi alielewa sehemu ya kazi ya waandishi wa habari nikukosoa serikali"

Linus Kaikai, Mkurugenzi wa Mikakati na Ubunifu katika kituo cha runinga cha Citizen nchini Kenya

Linus Kaikai, Mkurugenzi wa Mikakati na Ubunifu katika kituo cha runinga cha Citizen nchini Kenya Source: Linus Kaikai

Kila kiongozi wa taifa huwa na uhusiano wakipekee na vyombo vya habari katika nchi anayo ongoza.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Kila kiongozi wa taifa huwa na uhusiano wakipekee na vyombo vya habari katika nchi anayo ongoza.


Marehemu Daniel Toroitich Arap Moi ambaye alikuwa Rais wa pili wa Kenya, alikuwa na uhusiano wakipekee na waandishi wa habari, pamoja na vyombo vya habari ambavyo vilikuwa vikipeperusha taarifa za habari nchini Kenya.

Linus Kaikai ni Mkurugenzi wa Mikakati na Ubunifu katika kituo cha runinga cha Citizen nchini Kenya. Alifafanulia Idhaa ya Kiswahili ya SBS jinsi vyombo vya habari vilivyo fanya kazi chini ya utawala wa Moi, mivutano iliyo ibuka pamoja na jinsi ilivyo tatuliwa pamoja na jinsi marehemu Moi, alivyo heshimu taasisi nakutambua kuwa sehemu ya kazi ya waandishi wa habari, ilikuwa kuikosoa serikali miongoni mwa majukumu mengine.

Risala za rambi rambi zinaendelea kutumwa nchini Kenya kutoka mataifa mbali mbali kufuatia kifo cha rais mstaafu Daniel Toroitich Arap Moi, na atazikwa nyumbani kwake Kabarak nchini Kenya.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now