Kaikai:"Moi alielewa sehemu ya kazi ya waandishi wa habari nikukosoa serikali"

Linus Kaikai, Mkurugenzi wa Mikakati na Ubunifu katika kituo cha runinga cha Citizen nchini Kenya

Linus Kaikai, Mkurugenzi wa Mikakati na Ubunifu katika kituo cha runinga cha Citizen nchini Kenya Source: Linus Kaikai

Kila kiongozi wa taifa huwa na uhusiano wakipekee na vyombo vya habari katika nchi anayo ongoza.


Marehemu Daniel Toroitich Arap Moi ambaye alikuwa Rais wa pili wa Kenya, alikuwa na uhusiano wakipekee na waandishi wa habari, pamoja na vyombo vya habari ambavyo vilikuwa vikipeperusha taarifa za habari nchini Kenya.

Linus Kaikai ni Mkurugenzi wa Mikakati na Ubunifu katika kituo cha runinga cha Citizen nchini Kenya. Alifafanulia Idhaa ya Kiswahili ya SBS jinsi vyombo vya habari vilivyo fanya kazi chini ya utawala wa Moi, mivutano iliyo ibuka pamoja na jinsi ilivyo tatuliwa pamoja na jinsi marehemu Moi, alivyo heshimu taasisi nakutambua kuwa sehemu ya kazi ya waandishi wa habari, ilikuwa kuikosoa serikali miongoni mwa majukumu mengine.

Risala za rambi rambi zinaendelea kutumwa nchini Kenya kutoka mataifa mbali mbali kufuatia kifo cha rais mstaafu Daniel Toroitich Arap Moi, na atazikwa nyumbani kwake Kabarak nchini Kenya.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service