Mashirika kuminatisa nchini Australia, yamejumuika kumulika madhara kwa afya ya vinywaji vyenye sukari.
Wanao ongoza mradi huo wamesema mazungumzo huanzia nyumbani, ambako wazazi wanaweza waelimisha watoto wao, kuhusu viwango na madhara ya sukari ndani ya vinywaji vyenye sukari.
Mradi wakutafakari matumizi ya vinywaji vyenye sukari, unatumai kuanzisha mazungumzo hayo kupitia matangazo yanayo changiwa katika mitandao yakijamii.
Share





