Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kanda ya Kaskazini Queensland yaanza mchakato wakufanya usafi baada ya kukumbwa kwa mafuriko

Flooding in Cairns, Australia -18 Dec 2023

Masses of debris and fences have been strewn around the Cairns suburb of Holloways Beach after major flooding. (Photo by Joshua Prieto / SOPA Images/Sipa USA) Credit: SOPA Images/Sipa USA

Kiwango cha uharibifu ambao ume achwa nyuma na Kimbunga Jasper, kimeanza onekana pole pole katika kanda ya Kaskazini ya Queensland, ambako wakulima wanasema wamepoteza mazao yenye thamani ya miezi kadhaa.


Published

Updated

By Tom Stayner, Alex Anyfantis

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Kiwango cha uharibifu ambao ume achwa nyuma na Kimbunga Jasper, kimeanza onekana pole pole katika kanda ya Kaskazini ya Queensland, ambako wakulima wanasema wamepoteza mazao yenye thamani ya miezi kadhaa.


Waziri Mkuu Anthony Albanese anatarajiwa kutembelea maeneo yaliyo athiriwa kwa mafuriko, kujionea kiwango cha janga hilo yeye mwenyewe.

Mvua kubwa na upepo mkali hatimaye vimepungua baada ya siku kadhaa za kuponda maeneo ya kaskazini ya Queensland, juhudi za usafi zime anza pole pole.

Kimbunga Jasper kime acha janga katika eneo hilo, ambako zaidi ya jumuiya 30 zime achwa zikiwe zimetengwa kwa sababu ya viwango vya juu vya maji ya mafuriko pamoja na uharibifu ulio sababishwa katika barabara.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now