Kanda ya Kaskazini Queensland yaanza mchakato wakufanya usafi baada ya kukumbwa kwa mafuriko

Flooding in Cairns, Australia -18 Dec 2023

Masses of debris and fences have been strewn around the Cairns suburb of Holloways Beach after major flooding. (Photo by Joshua Prieto / SOPA Images/Sipa USA) Credit: SOPA Images/Sipa USA

Kiwango cha uharibifu ambao ume achwa nyuma na Kimbunga Jasper, kimeanza onekana pole pole katika kanda ya Kaskazini ya Queensland, ambako wakulima wanasema wamepoteza mazao yenye thamani ya miezi kadhaa.


Waziri Mkuu Anthony Albanese anatarajiwa kutembelea maeneo yaliyo athiriwa kwa mafuriko, kujionea kiwango cha janga hilo yeye mwenyewe.

Mvua kubwa na upepo mkali hatimaye vimepungua baada ya siku kadhaa za kuponda maeneo ya kaskazini ya Queensland, juhudi za usafi zime anza pole pole.

Kimbunga Jasper kime acha janga katika eneo hilo, ambako zaidi ya jumuiya 30 zime achwa zikiwe zimetengwa kwa sababu ya viwango vya juu vya maji ya mafuriko pamoja na uharibifu ulio sababishwa katika barabara.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service