Kelvin Kiptum atikisa dunia

2023 Chicago Marathon

CHICAGO, ILLINOIS - OCTOBER 08: Kelvin Kiptum of Kenya celebrates after winning the 2023 Chicago Marathon professional men's division and setting a world record marathon time of 2:00.35 at Grant Park on October 08, 2023 in Chicago, Illinois. Credit: Michael Reaves/Getty Images

Mwanariadha Kelvin Kiptum Cheruiyot amejitengea nafasi yake katika vitabu vya historia kwa kushinda mbio za marathon mjini Chicago kwa muda wa masaa 2:00:34.


Kiptum alivunja rekodi ya Eliud Kipchoge ya masaa 2:01:09 aliyo iweke mjini Berlin, Ujerumani.

Masaa machache baada ya historia hiyo kutengezwa, SBS Swahili ilzungumza na mwanariadha mstaafu kutoka Kenya ambaye kwa sasa ni mkaazi wa mji wa Perth, Magharibi Australia Bw Alfred 'Sergent' Koech.

Bw Koech alifunguka kuhusu historia ya wakenya katika riadha, pamoja na matarajio mapya kwa Bw Kiptum ambaye kwa umri wa miaka 23 wengi wana hisi ata endelea kuvunja rekodi nyingi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service