Viongozi hao walijadili uwezekano waku hamasisha tume ya uchaguzi ya IEBC pamoja na serikali ya Kenya, kuhakikisha wa Kenya wanao ishi Australia, wanapewa fursa yaku shiriki katika uchaguzi wa urais wa Kenya utakapo fanywa mwaka huu.
Viongozi hao walijadili pia baadhi ya miradi wanayo fanya katika jumuiya wanazo wakilisha.
Bonyeza hapo juu kusikiza mjadala huo.
