Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mahakama yaidhinisha ushindi wa Uhuru Kenyatta katika uchaguzi wa urais

Mahakimu wa mahakama kuu ya Kenya

Mahakimu wa mahakama kuu ya Kenya Source: Reuters

Mahakama ya juu ya Kenya, imetoa uamuzi kuwa Rais Uhuru Kenyatta alichaguliwa kihalali katika marudio ya uchaguzi wa urais uliyofanyika Oktoba 26 ambao ulisusiwa na upinzani. Wakenya wanao ishi Sydney, walichangia maoni yao kuhusu uamuzi huo wa mahakama na SBS Swahili.


Published

By SBS Swahili

Presented by SBS Swahili

Source: SBS, SBS



Share this with family and friends


Mahakama ya juu ya Kenya, imetoa uamuzi kuwa Rais Uhuru Kenyatta alichaguliwa kihalali katika marudio ya uchaguzi wa urais uliyofanyika Oktoba 26 ambao ulisusiwa na upinzani. Wakenya wanao ishi Sydney, walichangia maoni yao kuhusu uamuzi huo wa mahakama na SBS Swahili.



Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now