Mahakama ya juu ya Kenya, imetoa uamuzi kuwa Rais Uhuru Kenyatta alichaguliwa kihalali katika marudio ya uchaguzi wa urais uliyofanyika Oktoba 26 ambao ulisusiwa na upinzani. Wakenya wanao ishi Sydney, walichangia maoni yao kuhusu uamuzi huo wa mahakama na SBS Swahili.
Share






