Wakenya duniani kote wali sherehekea tangazo la kuondolewa kwa nchi yao katika orodha ya mataifa ambayo haya tekelezi masharti ya shirika linalo kabiliana na matumizi ya madawa yaku ongeza nguvu mwilini miongoni mwa wanariadha (WADA).
Kuondolewa kwa Kenya katika orodha hiyo kulimaanisha kwamba wanariadha wa Kenya watapata fursa yaku shiriki katika michuano ya Olimpiki mjini Rio, Brazil. Hata hicyo Kenya ime tumbukia katika kashfa mpya, baada ya wakufunzi wa wanariadha wa taifa kurejeshwa nyumbani (Kenya), walipo gunduliwa kuwa wame chukua nafasi za wanariadha kufanya vipimo mjini Rio.
SBS Swahili ilipata fursa ya kuzungumza na wa Kenya ambao wali changia maoni yao kuhusu kashfa ambazo zinaikumba taifa lao katika michezo.
Share
