Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kenya yaongoza njia kuhifadhi joto la chanjo

Zahanati mpya inayo tumia nishati ya umeme yatumiwa mjini Nairobi

Zahanati mpya inayo tumia nishati ya umeme yatumiwa mjini Nairobi Source: AP

Moja ya matatizo makubwa yakupata chanjo ya UVIKO-19 katika maeneo ya vijiji, vya nchi zinazo endelea niku hifadhi chanjo hizo kwenye joto sahihi.


Published

By Allan Lee

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Moja ya matatizo makubwa yakupata chanjo ya UVIKO-19 katika maeneo ya vijiji, vya nchi zinazo endelea niku hifadhi chanjo hizo kwenye joto sahihi.


Ila sasa, kitengo kipya cha afya chakusafiri kinacho tumia nishati ya sola, kina saidia kutoa chanjo za UVIKO-19 katika miji midogo na vijiji nchini Kenya.

Kutoa chanjo katika maeneo ya vijiji vya nchi kwa joto sahihi, ni moja ya changamoto ambayo inakabili mradi wa chanjo wa Kenya. Wakiwa wame egea katika wilaya ya Kasarani, ya mji mkuu wa Kenya, Nairobi ni kundi la wafanyakazi wa afya ambao, wako kwenye ujumbe wakuongeza chanjo za UVIKO-19. Kwa mujibu wa shirika la Afya la Dunia, mtindo mpana wa virusi katika bara la Afrika unaenda chini ila, bado hayaja dhibitiwa kabisa.

Wafanyakazi wa afya kwa sasa wanaripoti ongezeko kwa wanao chukua chanjo, wanapo peleka chanjo moja kwa moja kwa watu ambao hawawezi fanya safari ndefu za kwenda hospitalini.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now