Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kenya yarejea katika kombe la Afrika, jijini Sydney kwa kishindo

Kenya yashiriki katika kombe la Afrika, Sydney

Vijana wa timu ya soka ya Kenya, washerehekea goli katika kombe la Afrika, jijini Sydney, Australia Source: SBS Swahili

Timu ya mpira wa miguu ya jamii ya wakenya wanao ishi Sydney, Australia, imekuwa ikijiandaa kushiriki katika kombe la Afrika kwa muda wa miaka miwili.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Timu ya mpira wa miguu ya jamii ya wakenya wanao ishi Sydney, Australia, imekuwa ikijiandaa kushiriki katika kombe la Afrika kwa muda wa miaka miwili.


Hatimae timu hiyo ili ingia dimbani dhidi ya Burkina Faso katika mechi ya kwanza ya kombe la Afrika jijini Sydney, New South Wales Jumapili 15 Novemba 2020 mashabiki wao wakiwa na hisia pamoja na matarajio mseto.

Licha yakuanza mechi kwaku fungwa goli la mapema vijana hao, walikaza buti nakuonesha umahiri wao katika mechi hiyo iliyo tawaliwa na joto kali.

Punde baada ya kipenga cha mwisho kupulizwa, mashabiki, wachezaji pamoja na mwalimu wa Kenya walichangia maoni na hisia zao kuhusu mechi hiyo na Idhaa ya Kiswahili ya SBS. Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now