Kenya yarejea katika kombe la Afrika, jijini Sydney kwa kishindo

Kenya yashiriki katika kombe la Afrika, Sydney

Vijana wa timu ya soka ya Kenya, washerehekea goli katika kombe la Afrika, jijini Sydney, Australia Source: SBS Swahili

Timu ya mpira wa miguu ya jamii ya wakenya wanao ishi Sydney, Australia, imekuwa ikijiandaa kushiriki katika kombe la Afrika kwa muda wa miaka miwili.


Hatimae timu hiyo ili ingia dimbani dhidi ya Burkina Faso katika mechi ya kwanza ya kombe la Afrika jijini Sydney, New South Wales Jumapili 15 Novemba 2020 mashabiki wao wakiwa na hisia pamoja na matarajio mseto.

Licha yakuanza mechi kwaku fungwa goli la mapema vijana hao, walikaza buti nakuonesha umahiri wao katika mechi hiyo iliyo tawaliwa na joto kali.

Punde baada ya kipenga cha mwisho kupulizwa, mashabiki, wachezaji pamoja na mwalimu wa Kenya walichangia maoni na hisia zao kuhusu mechi hiyo na Idhaa ya Kiswahili ya SBS. Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service