Shirika la misaada kutoka Kenya, lapokea tuzo muhimu la jamii, mkoani NSW, Australia

Wawakilishi wa shirika la Shukrani Home Foundation, wapokea tuzo yao mkoani NSW, Australia

Wawakilishi wa shirika la Shukrani Home Foundation, wapokea tuzo yao mkoani NSW, Australia Source: SBS Swahili

Shirika la Shukrani Home Foundation kutoka Kenya, lili pokea tuzo kutoka kwa shirika la Celebration of African Australians, kwa huduma shirika hilo hutoa vijana na wanafunzi wanao ishi katika maeneo ya vijiji vya kaunti ya Machakos, Kenya.


Lengo kuu la shirika la Shukrani Home Foundation, niku toa mchango kwa jamii.

Jane S Kitungu kutoka shirika hilo, alitembelea Idhaa ya Kiswahili ya SBS siku chache baada yaku pokea tuzo hiyo kwa niaba ya shirika lake, Bi Jane alitupa maelezo kamili kuhusu miradi ya shirika la Shukrani Home Foundation katika mahojiano tuliyo fanya naye.

Kwa maelezo ya ziada kuhusu shirika la Shukrani Home Foundation, tembelea tovuti yao: www.shukranifoundation.com

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service