Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Shirika la misaada kutoka Kenya, lapokea tuzo muhimu la jamii, mkoani NSW, Australia

Wawakilishi wa shirika la Shukrani Home Foundation, wapokea tuzo yao mkoani NSW, Australia

Wawakilishi wa shirika la Shukrani Home Foundation, wapokea tuzo yao mkoani NSW, Australia Source: SBS Swahili

Shirika la Shukrani Home Foundation kutoka Kenya, lili pokea tuzo kutoka kwa shirika la Celebration of African Australians, kwa huduma shirika hilo hutoa vijana na wanafunzi wanao ishi katika maeneo ya vijiji vya kaunti ya Machakos, Kenya.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Shirika la Shukrani Home Foundation kutoka Kenya, lili pokea tuzo kutoka kwa shirika la Celebration of African Australians, kwa huduma shirika hilo hutoa vijana na wanafunzi wanao ishi katika maeneo ya vijiji vya kaunti ya Machakos, Kenya.


Lengo kuu la shirika la Shukrani Home Foundation, niku toa mchango kwa jamii.

Jane S Kitungu kutoka shirika hilo, alitembelea Idhaa ya Kiswahili ya SBS siku chache baada yaku pokea tuzo hiyo kwa niaba ya shirika lake, Bi Jane alitupa maelezo kamili kuhusu miradi ya shirika la Shukrani Home Foundation katika mahojiano tuliyo fanya naye.

Kwa maelezo ya ziada kuhusu shirika la Shukrani Home Foundation, tembelea tovuti yao: www.shukranifoundation.com

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now