Shirika la Shukrani Home Foundation kutoka Kenya, lili pokea tuzo kutoka kwa shirika la Celebration of African Australians, kwa huduma shirika hilo hutoa vijana na wanafunzi wanao ishi katika maeneo ya vijiji vya kaunti ya Machakos, Kenya.
Lengo kuu la shirika la Shukrani Home Foundation, niku toa mchango kwa jamii.
Jane S Kitungu kutoka shirika hilo, alitembelea Idhaa ya Kiswahili ya SBS siku chache baada yaku pokea tuzo hiyo kwa niaba ya shirika lake, Bi Jane alitupa maelezo kamili kuhusu miradi ya shirika la Shukrani Home Foundation katika mahojiano tuliyo fanya naye.
Kwa maelezo ya ziada kuhusu shirika la Shukrani Home Foundation, tembelea tovuti yao: www.shukranifoundation.com
Share






