Utafiti wa Dkt Sikulu-Lord unalenga mbu, wenye umuhimu wa matibabu hususan mbu wanaosambaza malaria, homa ya dengue, Zika na homa ya njano.
Mkenya aongoza utafiti wa kuangamiza Malaria na Zika

Dkt Maggy Sikulu-Lord ndaniya maabara chuoni Source: Dkt Maggy Sikulu-Lord
Dkt Maggy Sikulu-Lord ni mtafiti na mchambuzi wa madhara ya wadudu wanaosababisha magonjwa kwa binadamu, katika kituo cha sayansi ya wanyama ndani ya chuo cha Queensland.
Share




