Matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2017 nchini Kenya, yame zua mshangao miongoni mwa wakenya wanao ishi ughaibuni.
Baadhi ya wakenya wame furahia ishindi wa chama cha Jubilee ambacho viongozi wake wame pewa fursa yakuongoza taifa hilo kwa miaka mitano ijayo. Na wengine wame salia wakifanya tathmini ya upungufu wa wagombea wa vyama vyao.
Baadhi yawa Kenya wanao ishi Australia, walichangia maoni yao na SBS Swahili kuhusu mchakato mzima wa uchaguzi wa Kenya.
Share





