Wakenya wafunguka kuhusu matokeo ya uchaguzi mkuu

Rais Mteule wa Kenya Uhuru Kenyatta na makamu wake William Ruto wapokea hati zakuongoza taifa katika ukumbi wa Bomas of Kenya

Rais Mteule wa Kenya Uhuru Kenyatta na makamu wake William Ruto wapokea hati zakuongoza taifa katika ukumbi wa Bomas of Kenya Source: Picha: AAP/Sayyid Abdul Azim

Matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2017 nchini Kenya, yame zua mshangao miongoni mwa wakenya wanao ishi ughaibuni.


Baadhi ya wakenya wame furahia ishindi wa chama cha Jubilee ambacho viongozi wake wame pewa fursa yakuongoza taifa hilo kwa miaka mitano ijayo. Na wengine wame salia wakifanya tathmini ya upungufu wa wagombea wa vyama vyao.

Baadhi yawa Kenya wanao ishi Australia, walichangia maoni yao na SBS Swahili kuhusu mchakato mzima wa uchaguzi wa Kenya.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service