Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wakenya wafunguka kuhusu matokeo ya uchaguzi mkuu

Rais Mteule wa Kenya Uhuru Kenyatta na makamu wake William Ruto wapokea hati zakuongoza taifa katika ukumbi wa Bomas of Kenya

Rais Mteule wa Kenya Uhuru Kenyatta na makamu wake William Ruto wapokea hati zakuongoza taifa katika ukumbi wa Bomas of Kenya Source: Picha: AAP/Sayyid Abdul Azim

Matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2017 nchini Kenya, yame zua mshangao miongoni mwa wakenya wanao ishi ughaibuni.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Source: SBS



Share this with family and friends


Matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2017 nchini Kenya, yame zua mshangao miongoni mwa wakenya wanao ishi ughaibuni.


Baadhi ya wakenya wame furahia ishindi wa chama cha Jubilee ambacho viongozi wake wame pewa fursa yakuongoza taifa hilo kwa miaka mitano ijayo. Na wengine wame salia wakifanya tathmini ya upungufu wa wagombea wa vyama vyao.

Baadhi yawa Kenya wanao ishi Australia, walichangia maoni yao na SBS Swahili kuhusu mchakato mzima wa uchaguzi wa Kenya.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now