Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Vijana Wakenya waadhimisha sikukuu ya Pasaka

Vijana wa jamii ya Kenya walioshirki ibada ya Pasaka

Pasaka ni sherehe za maadhimisho ya kumbukumbu ya ufufuo wa Yesu kutoka kwa wafu, kama ilivyoelezwa katika Agano Jipya, ilitokea siku ya tatu baada ya kumzika kwake baada ya kusulubiwa kwake na Warumi huko Kalvari. Hapa Australia, Jumuiya ya Wakenya walikusanyika pamoja huko Merrylands kusherehekea siku hii kubwa. Mwandishi wetu Gode Migerano ana maelezo zaidi kutoka kwa vijana waliohudhuria maadhimisho hayo.


Published

By Frank Mtao

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Pasaka ni sherehe za maadhimisho ya kumbukumbu ya ufufuo wa Yesu kutoka kwa wafu, kama ilivyoelezwa katika Agano Jipya, ilitokea siku ya tatu baada ya kumzika kwake baada ya kusulubiwa kwake na Warumi huko Kalvari. Hapa Australia, Jumuiya ya Wakenya walikusanyika pamoja huko Merrylands kusherehekea siku hii kubwa. Mwandishi wetu Gode Migerano ana maelezo zaidi kutoka kwa vijana waliohudhuria maadhimisho hayo.



Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now