Upinzani umeendelea na kampeni ya uasi wa kiraia nchini Kenya.
Wakati hoo hoo, mamlaka ya mahakama nchini Kenya yameendelea kuwekwa chini ya mtihani mkali kutoka mifumo mingine ya serikali, wanasiasa na wanaharakati wa haki za kiraia.

Mahakimu wa mahakama kuu ya Kenya Source: Reuters
Wakati hoo hoo, mamlaka ya mahakama nchini Kenya yameendelea kuwekwa chini ya mtihani mkali kutoka mifumo mingine ya serikali, wanasiasa na wanaharakati wa haki za kiraia.

SBS World News