Uongozi wa Kenya wajipata katika njia panda

Mahakimu wa mahakama kuu ya Kenya

Mahakimu wa mahakama kuu ya Kenya Source: Reuters


Upinzani umeendelea na kampeni ya uasi wa kiraia nchini Kenya.

Wakati hoo hoo, mamlaka ya mahakama nchini Kenya yameendelea kuwekwa chini ya mtihani mkali kutoka mifumo mingine ya serikali, wanasiasa na wanaharakati wa haki za kiraia.

SBS Swahili ilizungumza na mwanasheria nchini Kenya, kuhusu ongezeko la shinikizo kwa mfumo wa mahakama katika taifa hilo la Afrika Mashariki.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service