Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Uongozi wa Kenya wajipata katika njia panda

Mahakimu wa mahakama kuu ya Kenya

Mahakimu wa mahakama kuu ya Kenya Source: Reuters

Published

Updated

By Gode Migerano, SBS Swahili

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Upinzani umeendelea na kampeni ya uasi wa kiraia nchini Kenya.

Wakati hoo hoo, mamlaka ya mahakama nchini Kenya yameendelea kuwekwa chini ya mtihani mkali kutoka mifumo mingine ya serikali, wanasiasa na wanaharakati wa haki za kiraia.

SBS Swahili ilizungumza na mwanasheria nchini Kenya, kuhusu ongezeko la shinikizo kwa mfumo wa mahakama katika taifa hilo la Afrika Mashariki.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now