Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Upinzani wa Kenya wa mwapisha kinara wao kama rais wa taifa

Kinara wa muungano wa NASA apewa Biblia katika kongamano la chama

Kinara wa muungano wa NASA apewa Biblia katika kongamano la chama Source: NASA Kenya

Mamlaka inayo simamia mawasiliano nchini Kenya imetumbukiza Kenya katika giza la taarifa ya habari baada yakuzima mitambo iliyo kuwa ikipeperusha matangazo ya runinga nchini kote.


Published

By SBS Swahili

Presented by SBS Swahili

Source: SBS, SBS



Share this with family and friends


Mamlaka inayo simamia mawasiliano nchini Kenya imetumbukiza Kenya katika giza la taarifa ya habari baada yakuzima mitambo iliyo kuwa ikipeperusha matangazo ya runinga nchini kote.


Hatua hiyo ime jiri wakati muungano wa NASA ulikuwa ukiendelea na maandalizi ya kuwaapisha vinara wao katika bustani ya Uhuru.

SBS Swahili ilizungumza na mwandishi wa habari akiwa mjini Nairobi kuhusu matukio hayo.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now