Upinzani wa Kenya wa mwapisha kinara wao kama rais wa taifa

Kinara wa muungano wa NASA apewa Biblia katika kongamano la chama

Kinara wa muungano wa NASA apewa Biblia katika kongamano la chama Source: NASA Kenya

Mamlaka inayo simamia mawasiliano nchini Kenya imetumbukiza Kenya katika giza la taarifa ya habari baada yakuzima mitambo iliyo kuwa ikipeperusha matangazo ya runinga nchini kote.


Hatua hiyo ime jiri wakati muungano wa NASA ulikuwa ukiendelea na maandalizi ya kuwaapisha vinara wao katika bustani ya Uhuru.

SBS Swahili ilizungumza na mwandishi wa habari akiwa mjini Nairobi kuhusu matukio hayo.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Upinzani wa Kenya wa mwapisha kinara wao kama rais wa taifa | SBS Swahili