Hatua hiyo ime jiri wakati muungano wa NASA ulikuwa ukiendelea na maandalizi ya kuwaapisha vinara wao katika bustani ya Uhuru.
Upinzani wa Kenya wa mwapisha kinara wao kama rais wa taifa

Kinara wa muungano wa NASA apewa Biblia katika kongamano la chama Source: NASA Kenya
Mamlaka inayo simamia mawasiliano nchini Kenya imetumbukiza Kenya katika giza la taarifa ya habari baada yakuzima mitambo iliyo kuwa ikipeperusha matangazo ya runinga nchini kote.
Share




