Kesi yakumuondoa rais Trump ya anza ndani ya Seneti ya Marekani

Mashtaka dhidi ya Trump yawasilishwa ndani ya Seneti, Marekani

Mashtaka dhidi ya Trump yawasilishwa ndani ya Seneti, Marekani Source: AAP

Kesi yakumwondoa mamlakani rais Donald Trump, imeanza rasmi ndani ya seneti nchini Marekani.


Bw Trump anashtumiwa kwa kosa lakutumia mamlaka yake vibaya kama rais, katika mawasiliano yake na Ukraine marekani inapo elekea katika uchaguzi wa rais mwaka huu.

Jumanne tarehe 21 Januari ndipo, pande zote zitawasilisha ushahidi wao katika kesi hiyo.

Kesi hiyo ime ahirishwa hadi wiki ijayo.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service