Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kesi yakumuondoa rais Trump ya anza ndani ya Seneti ya Marekani

Mashtaka dhidi ya Trump yawasilishwa ndani ya Seneti, Marekani

Mashtaka dhidi ya Trump yawasilishwa ndani ya Seneti, Marekani Source: AAP

Kesi yakumwondoa mamlakani rais Donald Trump, imeanza rasmi ndani ya seneti nchini Marekani.


Published

Updated

By Stephanie Corsetti

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Kesi yakumwondoa mamlakani rais Donald Trump, imeanza rasmi ndani ya seneti nchini Marekani.


Bw Trump anashtumiwa kwa kosa lakutumia mamlaka yake vibaya kama rais, katika mawasiliano yake na Ukraine marekani inapo elekea katika uchaguzi wa rais mwaka huu.

Jumanne tarehe 21 Januari ndipo, pande zote zitawasilisha ushahidi wao katika kesi hiyo.

Kesi hiyo ime ahirishwa hadi wiki ijayo.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now