Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kikosi cha ATMIS cha anza kuondoka Somalia

Kaimu Kamanda wa vikozi vya ATMIS, Maj. Gen. Marius Ngendabanka azungumza na waandishi wa habari.jpg

Viongozi wa jeshi la Umoja wa Afrika nchini Somalia, wamesema wamekamilisha awamu ya kwanza ya kupunguza idadi ya vikosi vyao nchini humo.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Viongozi wa jeshi la Umoja wa Afrika nchini Somalia, wamesema wamekamilisha awamu ya kwanza ya kupunguza idadi ya vikosi vyao nchini humo.


Utaratibu waku rejesha majukumu ya usalama mikononi mwa mamlaka ya Somalia, unaendelea kwa kasi na unatarajiwa kukamilika hivi karibuni.

Mwandishi wetu Jason Nyakundi ametuandalia makala maalum kuhusu hatua hiyo pamoja na taarifa zingine kutoka barani Afrika.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now