Kikosi cha ATMIS cha anza kuondoka Somalia

Kaimu Kamanda wa vikozi vya ATMIS, Maj. Gen. Marius Ngendabanka azungumza na waandishi wa habari.jpg

Viongozi wa jeshi la Umoja wa Afrika nchini Somalia, wamesema wamekamilisha awamu ya kwanza ya kupunguza idadi ya vikosi vyao nchini humo.


Utaratibu waku rejesha majukumu ya usalama mikononi mwa mamlaka ya Somalia, unaendelea kwa kasi na unatarajiwa kukamilika hivi karibuni.

Mwandishi wetu Jason Nyakundi ametuandalia makala maalum kuhusu hatua hiyo pamoja na taarifa zingine kutoka barani Afrika.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Kikosi cha ATMIS cha anza kuondoka Somalia | SBS Swahili