Australian Opposition Leader Peter Dutton arrives during Question Time in the House of Representatives at Parliament House in Canberra, Thursday, May 11, 2023. (AAP Image/Lukas Coch) NO ARCHIVING Source: AAP / LUKAS COCH/AAPIMAGE
Kiongozi wa upinzani Peter Dutton amekosoa bajeti ya serikali ya Labor ya 2023, akisema haifanyi chochote kusaidia Australia ya kati.
Kiongozi wa upinzani Peter Dutton amekosoa bajeti ya serikali ya Labor ya 2023, akisema haifanyi chochote kusaidia Australia ya kati.
Amesema pia kuwa sera kubwa ya serikali ya Australia, itazidisha mzozo wa makazi, ambao Labor inajaribu kukarabati kwa kupitisha muswada wa makazi.
Wakati muswada wa makazi umekwama, watu ambao wanakabiliana na shinikizo la makazi, itabidi wasubiri hadi seneti itakapo fanya kikao kingine tena kati ya 13-16 Juni, kujua hatma ya sera hiyo.