Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kiongozi wa upinzani adai mpango wa uhamiaji katika bajeti utaongeza mzozo wa makazi

QUESTION TIME

Australian Opposition Leader Peter Dutton arrives during Question Time in the House of Representatives at Parliament House in Canberra, Thursday, May 11, 2023. (AAP Image/Lukas Coch) NO ARCHIVING Source: AAP / LUKAS COCH/AAPIMAGE

Kiongozi wa upinzani Peter Dutton amekosoa bajeti ya serikali ya Labor ya 2023, akisema haifanyi chochote kusaidia Australia ya kati.


Published

Updated

By Soofia Tariq

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Kiongozi wa upinzani Peter Dutton amekosoa bajeti ya serikali ya Labor ya 2023, akisema haifanyi chochote kusaidia Australia ya kati.


Amesema pia kuwa sera kubwa ya serikali ya Australia, itazidisha mzozo wa makazi, ambao Labor inajaribu kukarabati kwa kupitisha muswada wa makazi.

Wakati muswada wa makazi umekwama, watu ambao wanakabiliana na shinikizo la makazi, itabidi wasubiri hadi seneti itakapo fanya kikao kingine tena kati ya 13-16 Juni, kujua hatma ya sera hiyo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now