Kiongozi wa upinzani ana matumaini kuhusu kampeni ya uchaguzi licha yakupatwa na UVIKO-19

Kiongozi wa upinzani Anthony Albanese, afanya mahojiano kupitia video, baada yakupatwa na UVIKO-19.

Kiongozi wa upinzani Anthony Albanese, afanya mahojiano kupitia video, baada yakupatwa na UVIKO-19. Source: AAP

Kiongozi wa chama cha Labor Anthony Albanese, amaliza siku yake ya tatu akijitenga baada yakuambukizwa UVIKO-19.


Wiki ya pili ya kampeni ya uchaguzi wa shirikisho imeshuhudia viongozi wa vyama viwili vikubwa, wakikabiliana katika mjadala wakitaifa ambako hoja ya usalama wa taifa ilikuwa kipaumbele cha ajenda.

Sajili ya uchaguzi mkuu wa shirikisho, ilifungwa Jumatatu 18 Aprili 2022. Zaidi ya wa Australia milioni 17 wanastahiki kupiga kura, uchaguzi mkuu wa shirikisho utakapo fanywa 21 Mei 2022.

Hiyo ni idadi kubwa ya wapiga kura wanao stahiki katika historia ya nchi hii.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service