Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kiongozi wa upinzani ana matumaini kuhusu kampeni ya uchaguzi licha yakupatwa na UVIKO-19

Kiongozi wa upinzani Anthony Albanese, afanya mahojiano kupitia video, baada yakupatwa na UVIKO-19.

Kiongozi wa upinzani Anthony Albanese, afanya mahojiano kupitia video, baada yakupatwa na UVIKO-19. Source: AAP

Kiongozi wa chama cha Labor Anthony Albanese, amaliza siku yake ya tatu akijitenga baada yakuambukizwa UVIKO-19.


Published

By Arianna Lucente

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Kiongozi wa chama cha Labor Anthony Albanese, amaliza siku yake ya tatu akijitenga baada yakuambukizwa UVIKO-19.


Wiki ya pili ya kampeni ya uchaguzi wa shirikisho imeshuhudia viongozi wa vyama viwili vikubwa, wakikabiliana katika mjadala wakitaifa ambako hoja ya usalama wa taifa ilikuwa kipaumbele cha ajenda.

Sajili ya uchaguzi mkuu wa shirikisho, ilifungwa Jumatatu 18 Aprili 2022. Zaidi ya wa Australia milioni 17 wanastahiki kupiga kura, uchaguzi mkuu wa shirikisho utakapo fanywa 21 Mei 2022.

Hiyo ni idadi kubwa ya wapiga kura wanao stahiki katika historia ya nchi hii.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now