Kiongozi wa shirika la KISWA ambalo ni shirika linalo wawakilisha wakenya wanao ishi Sydney, alieleza idhaa ya Kiswahili ya SBS kuhusu baadhi ya miradi ambayo shirika lake linafanya, kwa niaba ya wanachama wake, pamoja na fursa za ushirikiano ambazo shirika lake linatafuta na mashirika mengine ya jamii.
Kiongozi wa KISWA aelezea umuhimu wa ushirikiano katika jamii

Mwenyekiti wa shirika la KISWA Source: Tabi
Jamii nyingi hutafuta fursa zaku boresha maisha ya wanachama wao, kupitia mbinu mbali mbali.
Share