Shirika la Kenyans in Sydney Welfare Association (KISWA) ambalo hu hudumu mkoani NSW, hivi karibuni lili adhimisha mwaka mmoja waku hudumia jamii.
Wanachama wa kamati ya KISWA, wali eleza SBS SWahili kuhusu, baadhi ya miradi ambayo wame fanya mwaka huu wa 2018, pamoja nakuzungumzia miradi ambayo ime ratibiwa kufanywa katika mwaka wa 2019.
Share






