KISWA ya adhimisha mwaka mmoja wakuhudumia jamii

Wanakamati wa shirika la KISWA katika maadhimisho ya mwaka mmoja wa huduma

Wanakamati wa shirika la KISWA katika maadhimisho ya mwaka mmoja wa huduma Source: SBS Swahili

Shirika la Kenyans in Sydney Welfare Association (KISWA) ambalo hu hudumu mkoani NSW, hivi karibuni lili adhimisha mwaka mmoja waku hudumia jamii.


Wanachama wa kamati ya KISWA, wali eleza SBS SWahili kuhusu, baadhi ya miradi ambayo wame fanya mwaka huu wa 2018, pamoja nakuzungumzia miradi ambayo ime ratibiwa kufanywa katika mwaka wa 2019.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service