KISWA ya andaa kongamano la biashara na uwekezaji

Mfanyabiashara ndani ya mgahawa wake

Mfanyabiashara ndani ya mgahawa wake Source: Getty Images

Janga la Uviko-19 lime athiri kila hali ya maisha ya watu, na wengi wao wame achwa bila kazi baada ya sehemu zao za kazi kufunga milango yao milele.


Baadhi ya watu walio poteza ajira zao wakati huu wa janga la Uviko-19 wame amua kuanza biashara zao ndogo ndogo, kuweza kumudu gharama za maisha na wengine ambao hawaja poteza ajira zao wametumia fursa zilizo jitokeza kupitia janga la Uviko-19 kuwekeza katika sehemu mbali mbali za biashara hapa nchini Australia na katika nchi zao za asili.

Shirika la KISWA ambalo huwa hudumia wakenya wanao ishi jijini Sydney, lili andaa kongamano maalum ambako wanajumuiya walishiriki katika mazungumzo na wataalam tofauti katika sekta ya biashara wa nchini Australia na Kenya. Mratibu wa kongamano hilo Bw George, alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS, umuhimu wa kongamano hilo na jinsi wanachama wali faidika kupitia taarifa waliyo pokea.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
KISWA ya andaa kongamano la biashara na uwekezaji | SBS Swahili