Viongozi wa shirika linalo wakilisha wakenya wanao ishi Sydney (KISWA), wamefunguka kuhusu kongamano walilo andaa hivi karibuni kwa niaba ya wanachama wao.
Kiongozi wa KISWA Bi Tabitha, alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS kuhusu lengo lakuandaa kongamano hilo, pamoja nakufunguka kuhusu hatua ambazo uongozi wa KISWA umechukua katika harakati za utetezi kwa niaba ya wanafunzi wakimataifa kwa kero yao yakulazimishwa kufanya mitihani ya IELTS.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






