KISWA yakabiliana na Idara ya Uhamiaji ya Australia kuhusu mitihani ya IELTS

Tabitha Mwenyekiti wa KISWA

Tabitha Mwenyekiti wa KISWA Source: SBS Swahili

Viongozi wa shirika linalo wakilisha wakenya wanao ishi Sydney (KISWA), wamefunguka kuhusu kongamano walilo andaa hivi karibuni kwa niaba ya wanachama wao.


Kiongozi wa KISWA Bi Tabitha, alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS kuhusu lengo lakuandaa kongamano hilo, pamoja nakufunguka kuhusu hatua ambazo uongozi wa KISWA umechukua katika harakati za utetezi kwa niaba ya wanafunzi wakimataifa kwa kero yao yakulazimishwa kufanya mitihani ya IELTS.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service