SKIP TO MAIN CONTENT

KISWA yakabiliana na Idara ya Uhamiaji ya Australia kuhusu mitihani ya IELTS

Tabitha Mwenyekiti wa KISWA
Tabitha Mwenyekiti wa KISWA Source: SBS Swahili

Viongozi wa shirika linalo wakilisha wakenya wanao ishi Sydney (KISWA), wamefunguka kuhusu kongamano walilo andaa hivi karibuni kwa niaba ya wanachama wao.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Skip to podcast episode content

Viongozi wa shirika linalo wakilisha wakenya wanao ishi Sydney (KISWA), wamefunguka kuhusu kongamano walilo andaa hivi karibuni kwa niaba ya wanachama wao.


Kiongozi wa KISWA Bi Tabitha, alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS kuhusu lengo lakuandaa kongamano hilo, pamoja nakufunguka kuhusu hatua ambazo uongozi wa KISWA umechukua katika harakati za utetezi kwa niaba ya wanafunzi wakimataifa kwa kero yao yakulazimishwa kufanya mitihani ya IELTS.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now