Kittony: "Kenya iko tayari kuwa mwenyeji wa WCC2021"

Kiprono Kittony, Mwenyekiti wa baraza la wafanya biashara na viwanda Kenya (KNCCI) katika mkutano wa WCC2017 mjini Sydney, Australia

Kiprono Kittony, Mwenyekiti wa baraza la wafanya biashara na viwanda Kenya (KNCCI) katika mkutano wa WCC2017 mjini Sydney, Australia Source: SBS Swahili

Kongamano la vyama vya wafanya biashara (WCC) la 2017 lime anza mjini Sydney, Australia wajumbe kutoka mataifa mbali mbali wameshiriki katika mikutano ambako wame pigia debe baadhi ya miradi wanayo fanya katika nchi zao.


Chama kinacho wakilisha wafanya biashara na viwanda nchini Kenya (KNCCI), kikiongozwa na Mwenyetiki wacho Bw Kiprono Kittony, kime tumia vikao mbali mbali kuuza ombi lakuwa mwenyeji wa kongamano la WCC la 2021.

Bw Kiprono alizungumza na SBS Swahili, na kutuarifu kuhusu ombi la KNCCI lakuwa mwenyeji wa kongamano la WCC2021.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service