Kongamano la vyama vya wafanya biashara (WCC) la 2017 lime anza mjini Sydney, Australia wajumbe kutoka mataifa mbali mbali wameshiriki katika mikutano ambako wame pigia debe baadhi ya miradi wanayo fanya katika nchi zao.
Chama kinacho wakilisha wafanya biashara na viwanda nchini Kenya (KNCCI), kikiongozwa na Mwenyetiki wacho Bw Kiprono Kittony, kime tumia vikao mbali mbali kuuza ombi lakuwa mwenyeji wa kongamano la WCC la 2021.
Bw Kiprono alizungumza na SBS Swahili, na kutuarifu kuhusu ombi la KNCCI lakuwa mwenyeji wa kongamano la WCC2021.
Share





