Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kittony: "Kenya iko tayari kuwa mwenyeji wa WCC2021"

Kiprono Kittony, Mwenyekiti wa baraza la wafanya biashara na viwanda Kenya (KNCCI) katika mkutano wa WCC2017 mjini Sydney, Australia

Kiprono Kittony, Mwenyekiti wa baraza la wafanya biashara na viwanda Kenya (KNCCI) katika mkutano wa WCC2017 mjini Sydney, Australia Source: SBS Swahili

Kongamano la vyama vya wafanya biashara (WCC) la 2017 lime anza mjini Sydney, Australia wajumbe kutoka mataifa mbali mbali wameshiriki katika mikutano ambako wame pigia debe baadhi ya miradi wanayo fanya katika nchi zao.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Presented by SBS Swahili

Source: SBS, SBS



Share this with family and friends


Kongamano la vyama vya wafanya biashara (WCC) la 2017 lime anza mjini Sydney, Australia wajumbe kutoka mataifa mbali mbali wameshiriki katika mikutano ambako wame pigia debe baadhi ya miradi wanayo fanya katika nchi zao.


Chama kinacho wakilisha wafanya biashara na viwanda nchini Kenya (KNCCI), kikiongozwa na Mwenyetiki wacho Bw Kiprono Kittony, kime tumia vikao mbali mbali kuuza ombi lakuwa mwenyeji wa kongamano la WCC la 2021.

Bw Kiprono alizungumza na SBS Swahili, na kutuarifu kuhusu ombi la KNCCI lakuwa mwenyeji wa kongamano la WCC2021.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now