Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Kuingia kwa DRC katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kuna manufaa gani kwa raia wake

Rais Kenyatta na Rais Tshisekedi waonesha cheti cha uanachama wa DRC katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Rais Kenyatta na Rais Tshisekedi waonesha cheti cha uanachama wa DRC katika Jumuiya ya Afrika Mashariki. Source: Statehouse Kenya

Jumuiya ya Afrika Mashariki ina mwanachama mpya wa 7.


Published

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Jumuiya ya Afrika Mashariki ina mwanachama mpya wa 7.


Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya akiwa pamoja na ma Rais Paul Kagame (Rwanda) na Yoweri Museveni (Uganda), walimkaribisha Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri yakidemokrasia ya Kongo kuwa mwanachama mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Katika hafla hiyo Rais Kenyatta alizungumzia matumaini yake kwa mwanachama mpya wa Jumuiya hiyo, pamoja na jinsi wanachama wenza wataweza faidi kupitia muungano huo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili kutoka kwa mwandishi wetu Jason Nyakundi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now