Kuingia kwa DRC katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kuna manufaa gani kwa raia wake

Rais Kenyatta na Rais Tshisekedi waonesha cheti cha uanachama wa DRC katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Rais Kenyatta na Rais Tshisekedi waonesha cheti cha uanachama wa DRC katika Jumuiya ya Afrika Mashariki. Source: Statehouse Kenya

Jumuiya ya Afrika Mashariki ina mwanachama mpya wa 7.


Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya akiwa pamoja na ma Rais Paul Kagame (Rwanda) na Yoweri Museveni (Uganda), walimkaribisha Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri yakidemokrasia ya Kongo kuwa mwanachama mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Katika hafla hiyo Rais Kenyatta alizungumzia matumaini yake kwa mwanachama mpya wa Jumuiya hiyo, pamoja na jinsi wanachama wenza wataweza faidi kupitia muungano huo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili kutoka kwa mwandishi wetu Jason Nyakundi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service