Kumbuka:"Nimefurahi sana DRC kuingia katika Jumuiya ya Afrika Mashariki"

DRC yakaribishwa katika EAC

DRC yakaribishwa katika EAC Source: Statehouse Kenya

Jumuiya ya Afrika Mashariki ina mwanachama mpya wa saba: Jamhuri yakidemokrasia ya Congo.


Ujio wa taifa hilo kutoka kanda ya Afrika ya Kati, katika Jumuiya ya Afrika Mashariki umepokewa kwa hisia mseto, baadhi ya wanachama wakiwa na hofu kuhusu kuhamishwa kwa migogoro ya DRC katika EAC ila wanachama wengine wamezingatia zaidi fursa zinazo fuata ujumuishaji wa DRC katika EAC.

Bw Kumbuka ni mfanyabiashara na mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), yeye hufanya biashara zake kati ya Australia na EAC. Alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS manufaa ya DRC kukaribishwa katika EAC, pamoja na fursa zakibiashara ambazo raia wa nchi wanachama wa Jumuiya hiyo watakazo pata.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Kumbuka:"Nimefurahi sana DRC kuingia katika Jumuiya ya Afrika Mashariki" | SBS Swahili