Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kundi la M23 lasababisha mvutano kati ya Rwanda na DR Congo

Rais Paul Kagame (kushoto) wa Rwanda azungumza na Rais Felix Tshisekedi (kulia) wa DR Congo.

Rais Paul Kagame (kushoto) wa Rwanda azungumza na Rais Felix Tshisekedi (kulia) wa DR Congo. Source: DR Congo press office

Mitaa ya Kinshasa imeshuhudia maandamano baada ya tuhuma kuibuka za Rwanda kuunga mkono waasi wa M23.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Mitaa ya Kinshasa imeshuhudia maandamano baada ya tuhuma kuibuka za Rwanda kuunga mkono waasi wa M23.


Jumatatu, mwenyekiti wa umoja wa Afrika, ambaye pia ni rais wa Senegal Macky Sall, aliwasiliana kwa simu nama Rais Paul Kagame wa Rwanda na Felix Tshisekedi wa DRC, katika hatua yakutatua mgogoro kati ya majirani hao wawili.

Safari za ndege za Rwandair kuelekea DR Congo zimesitishwa kwa muda usiojulikana, hatua ambayo imesababisha madhara makubwa kwa abiria na wateja wakumpuni hiyo.

Bonyeza hapo juu kwa makala kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now