Kwibuka25:"Yaliyo fanyika Rwanda yanastahili kuwa funzo kwa dunia nzima"

Wanyarwanda waadhimisha miaka 25 ya mauaji ya kimbari nchini humo

Wanyarwanda waadhimisha miaka 25 ya mauaji ya kimbari nchini humo Source: AP

Wanyarwanda duniani kote, wanashiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka 25 ya mauaji yakimbari, yaliyo dai zaidi ya maisha yawatu takriban 8000,000 pamoja nakuwatawanya watu wengi zaidi.


Wanachama wa jamii yawanyarwanda wanao ishi mjini Sydney, NSW, Australia, pamoja namarafiki wa jamii hiyo, walihudhuria ibada maalum kuwakumbuka walio uaawa katika mauaji hayo.

Punde baada ya ibada hiyo, baadhi ya wahanga wa mauaji hayo ya kimbari, pamoja na viongozi wa jamii hiyo, walichangia maoni yao kuhusu mafunzo ambayo mataifa mengine yanaweza jifunza kupitia mauaji yakimbari nchini Rwanda.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service