Wanyarwanda duniani kote, wanashiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka 25 ya mauaji yakimbari, yaliyo dai zaidi ya maisha yawatu takriban 8000,000 pamoja nakuwatawanya watu wengi zaidi.
Wanachama wa jamii yawanyarwanda wanao ishi mjini Sydney, NSW, Australia, pamoja namarafiki wa jamii hiyo, walihudhuria ibada maalum kuwakumbuka walio uaawa katika mauaji hayo.
Punde baada ya ibada hiyo, baadhi ya wahanga wa mauaji hayo ya kimbari, pamoja na viongozi wa jamii hiyo, walichangia maoni yao kuhusu mafunzo ambayo mataifa mengine yanaweza jifunza kupitia mauaji yakimbari nchini Rwanda.
Share






