Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Lambert Mende: Kabila atasalia madarakani hadi rais mpya atakapo chaguliwa

Mwandamanaji na bango lake akiomba Rais Kabila aondoke madarakani
Mwandamanaji na bango lake akiomba Rais Kabila aondoke madarakani Source: Reuters

Barabara nyingi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ziko kavu, na hakuna ishara nyingi za shughuli katika miji ya taifa hilo la ukanda wa Afrika ya Kati.


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Barabara nyingi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ziko kavu, na hakuna ishara nyingi za shughuli katika miji ya taifa hilo la ukanda wa Afrika ya Kati.


Vyama vya upinzani vinaongeza shinikizo dhidi ya Rais Kabila ajiuzulu, baada ya muda wake rasmi wa uongozi kukamilika.

Serikali ya Rais Kabila imejibu shinikizo hilo kwaku tangaza kuundwa kwa serikali mpya ambayo imejumuisha viongozi kadhaa wa upinzani.

Kwakupata uelewa zaidi wa hali inavyo endelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, SBS Swahili ilizungumza na mwandishi wetu Byobe Malenga.

 

 


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now