Lambert Mende: Kabila atasalia madarakani hadi rais mpya atakapo chaguliwa

Mwandamanaji na bango lake akiomba Rais Kabila aondoke madarakani

Mwandamanaji na bango lake akiomba Rais Kabila aondoke madarakani Source: Reuters

Barabara nyingi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ziko kavu, na hakuna ishara nyingi za shughuli katika miji ya taifa hilo la ukanda wa Afrika ya Kati.


Vyama vya upinzani vinaongeza shinikizo dhidi ya Rais Kabila ajiuzulu, baada ya muda wake rasmi wa uongozi kukamilika.

Serikali ya Rais Kabila imejibu shinikizo hilo kwaku tangaza kuundwa kwa serikali mpya ambayo imejumuisha viongozi kadhaa wa upinzani.

Kwakupata uelewa zaidi wa hali inavyo endelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, SBS Swahili ilizungumza na mwandishi wetu Byobe Malenga.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service