Lazaro "watu wanaogopa kuenda jipimisha magonjwa"

Bw Lazaro afisa wa shirika la ECCQ

Bw Lazaro afisa wa shirika la ECCQ Source: SBS Swahili

Baadhi ya watu wanao wasili Australia kama wakimbizi, huja wakiwa na magonjwa sugu na wakati mwingine hawajui wana magonjwa hayo.


Bw Lazaro ni mmoja wa maafisa kutoka shirika la Ethnic Communities Council of Queensland, shirika hilo hutoa huduma kwa jamii zenye tamaduni tofauti jimboni Queensland. Alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS, baadhi ya mbinu shirika lake hutumia kuwahamasisha wanachama wa jamii kufanya vipimo vya afya.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service