Viongozi wa shindwa kuafikiana kuhusu kauli ya pamoja ya APEC, baada ya mkutano huo kufungwa nchini PNG

Waziri Mkuu Scott Morrison akiwa pamoja na viongozi wenza katika mkutano wa APEC

Waziri Mkuu Scott Morrison akiwa pamoja na viongozi wenza katika mkutano wa APEC Source: AAP

Kongamano la ushirikiano la uchumi la mataifa washiriki katika kanda ya Asia Pasifiki almaarufu (APEC), katika mji mkuu wa Papua New Guinea, Ports Moresby imekamilika.


Baadhi ya mataifa ya magharibi yaliyo shiriki katika mkutano huo, yametangaza mradi muhimu wa msaada kwa wenyeji Papua New Guinea katika mkutano huo.

Ila tangazo hilo limejiri wakati kumekuwa ongezeko la mvutano, kati ya mataifa mawili makubwa wakati nchi nyingi zina fanya mikakati yaku sawazisha uhusiano kati ya mataifa hayo mawili.

Hali hiyo imeacha maswala mengi bila majibu, na wanachama wengi wa APEC wame kwama katikati ya ongezeko la mvutano wa uhusiano kati ya nchi mbili zenye mamlaka zaidi duniani.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service