Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Vituo vya sheria vyapata afueni baada yakurejeshewa uwekezaji

Mwanasheria mkuu George Brandis akizungumza na vyombo vya habari

Mwana sheria mkuu George Brandis akizungumza na vyombo vya habari Source: Picha: AAP

Vituo vya sheria ndani ya jamii vinavyo toa ushauri waki sheria bila malipo kwa wa Australia wenye uwezo mdogo, vime karibisha uamuzi wa serikali ya Turnbull kubadili uamuzi waku kata uwekezaji kwa huduma zao.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Source: SBS



Share this with family and friends


Vituo vya sheria ndani ya jamii vinavyo toa ushauri waki sheria bila malipo kwa wa Australia wenye uwezo mdogo, vime karibisha uamuzi wa serikali ya Turnbull kubadili uamuzi waku kata uwekezaji kwa huduma zao.


Vituo hivyo vilikuwa vikijiandaa kupoteza uwekezaji wa dola milioni 35, kuanzia mwezi Juni.

Hatua ambayo ingelazimisha vituo hivyo kupoteza wafanyakazi na wateja.

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now