Vituo vya sheria vyapata afueni baada yakurejeshewa uwekezaji

Mwanasheria mkuu George Brandis akizungumza na vyombo vya habari

Mwana sheria mkuu George Brandis akizungumza na vyombo vya habari Source: Picha: AAP

Vituo vya sheria ndani ya jamii vinavyo toa ushauri waki sheria bila malipo kwa wa Australia wenye uwezo mdogo, vime karibisha uamuzi wa serikali ya Turnbull kubadili uamuzi waku kata uwekezaji kwa huduma zao.


Vituo hivyo vilikuwa vikijiandaa kupoteza uwekezaji wa dola milioni 35, kuanzia mwezi Juni.

Hatua ambayo ingelazimisha vituo hivyo kupoteza wafanyakazi na wateja.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service