Vituo vya sheria ndani ya jamii vinavyo toa ushauri waki sheria bila malipo kwa wa Australia wenye uwezo mdogo, vime karibisha uamuzi wa serikali ya Turnbull kubadili uamuzi waku kata uwekezaji kwa huduma zao.
Vituo hivyo vilikuwa vikijiandaa kupoteza uwekezaji wa dola milioni 35, kuanzia mwezi Juni.
Hatua ambayo ingelazimisha vituo hivyo kupoteza wafanyakazi na wateja.
Share





