Leornard "Ingekuwa kwetu, watu wangekuwa wame weka passports karibu"

Raia watoa hukumu yao ndani ya kituo chakupiga kura nchini Australia.

Raia watoa hukumu yao ndani ya kituo chakupiga kura nchini Australia. Source: AAP

Raia wa Australia wenye asili ya kanda ya Afrika ya Kati, walishiriki katika zoezi lakuchagua viongozi wakitaifa katika uchaguzi mkuu siku chache zilizo pita.


Baadhi ya wapiga kura hao wali eleza SBS Swahili hisia zao kuhusu kampeni za uchaguzi mkuu, utulivu walio shuhudia wa upigaji kura na kasi ya matangazo ya matokeo ya uchaguzi mkuu masaa machache baada ya vituo vyakupiga kura kufungwa.

Mamlaka husika zakupiga kura na viongozi katika mataifa ya kanda la Afrika ya Kati, walihamasishwa wajifunze na waige kama inawezekana mchakato wa upigaji kura wa Australia, ambako shughuli nzima ya kampeni hadi utangazaji wa matokeo ya kura hufanyika bila vurugu yoyote na watu kuhofia usalama wao.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service