Leyla: "Balozi za Kenya zinastahili jali maslahi yawakenya wanao fanya kazi nje ya nchi"

Unyanyasaji wa nyumbani

Credit: Public Domain

Idadi yawakenya wanao safiri kwenda kuanza ajira, katika nchi za kigeni inaongezeka kila siku.


Ila, jinsi idadi hiyo inavyo ongezeka ndivyo pia idadi ya visa vya wanao nyanyaswa wanako fanyia kazi inaongezeka pia. Kwa masikitiko baadhi ya watu hao haswa wanawake, wametendewa ukatili wa kila aina na hata baadhi kuuawa.

Bi Leyla ni mkenya anaye ishi Australia, katika mazungumzo maalum na SBS Swahili aliweka wazi maombi yake kwa serikali mpya ya Dr Ruto, haswa ambako maelfu yawanawake wanao fanya kazi katika nchi za ghuba wanahusika.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Leyla: "Balozi za Kenya zinastahili jali maslahi yawakenya wanao fanya kazi nje ya nchi" | SBS Swahili