Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Leyla: "Balozi za Kenya zinastahili jali maslahi yawakenya wanao fanya kazi nje ya nchi"

Unyanyasaji wa nyumbani

Idadi yawakenya wanao safiri kwenda kuanza ajira, katika nchi za kigeni inaongezeka kila siku.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Idadi yawakenya wanao safiri kwenda kuanza ajira, katika nchi za kigeni inaongezeka kila siku.


Ila, jinsi idadi hiyo inavyo ongezeka ndivyo pia idadi ya visa vya wanao nyanyaswa wanako fanyia kazi inaongezeka pia. Kwa masikitiko baadhi ya watu hao haswa wanawake, wametendewa ukatili wa kila aina na hata baadhi kuuawa.

Bi Leyla ni mkenya anaye ishi Australia, katika mazungumzo maalum na SBS Swahili aliweka wazi maombi yake kwa serikali mpya ya Dr Ruto, haswa ambako maelfu yawanawake wanao fanya kazi katika nchi za ghuba wanahusika.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now