Chama cha Liberals kina tumai kupata ushindi nakuongoza kwa muhula wa pili katika uchaguzi mkuu wa Tasmania Jumamosi tarehe 3 machi 2018.
Wakati huo huo chama cha Labor kina tumai sera zake kwa mashine za kamare zita vuna matunda miongoni mwa wapiga kura.
Kura mpya ya maoni jimboni humo ambako kuna mfumo usio wakawaida wakupiga kura, imedokeza kuwa chama cha Liberals kita pata ushindi mwembamba, ila kuna uwezekano mkubwa hakuna chama kitakacho kuwa na wingi bungeni.
Share

