Wakati mji wa Logan unaendelea na shughuli za usafi na ukarabati, baada ya uharibifu mkubwa ulio sababishwa na mafuriko. mwenyeji mmoja ame eleza SBS Swahili kuwa, mafuriko yame acha baadhi ya vitongoji vya Logan viki fanana ziwa Tanganyika.
Share
LIVE, FREE and EXCLUSIVE
Published
Updated
By SBS Swahlii
Source: SBS
Share this with family and friends



