Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

M Mwangangi: Kuweni mabalozi wema wa Kenya

Naibu Balozi wa Kenya nchini Australia, Mh Munyasia Mwangangi akizungumza katika maadhimisho ya Jamhuri Day 2016
Naibu Balozi wa Kenya nchini Australia, Mh Munyasia Mwangangi akizungumza katika maadhimisho ya Jamhuri Day 2016 Source: Picha: Johana Mbere

SBS Swahili ilihudhuria maadhimisho ya miaka 53 ya Jamhuri ya Kenya mjini Canberra, Australia ambako ilizungumza na Naibu Balozi wa Mh Munyasia Mwangangi.


Published

Updated

By SBS Swahili

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


SBS Swahili ilihudhuria maadhimisho ya miaka 53 ya Jamhuri ya Kenya mjini Canberra, Australia ambako ilizungumza na Naibu Balozi wa Mh Munyasia Mwangangi.


Bw Mwangangi alizungumzia maendeleo ambayo Kenya imefanya katika sekta mbali mbali elimu ikijumuishwa.

Bw Mwangangi alizungumzia pia mchanga ambao Kenya, imetoa kuboresha uchumi wa mataifa jirani katika ukanda wa mashariki ya Afrika. Pia Bw Mwangangi aliwahamasisha wakenya wanao ishi Australia, waendelee kuwa mabalozi wema wa nchi yao.

Bonyeza hapo juu kusikia mahojiano.

 


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now