M23 yaomba mazungumzo na serikali ya DRC

Congo

剛果民兵互鬥做成動亂。 Source: Getty, SBS / SBS Getty Images

Mazungumzo kati ya viongozi wa mataifa ya kanda la Afrika Mashariki, pamoja na ongezeko la vikosi vyakulinda amani vya kanda hilo katika maeneo ya Kaskazini ya Kivu, yame lazimisha kundi la M23 kuomba mazungumzo na serikali ya DRC.


Maeneo ya Kaskazini Kivu, yame kumbwa kwa machafuko na vita kwa miaka mingi mamia yama elfu yawatu waki kimbia makaazi yao kwa sababu ya ukosefu wa usalama.

Bonyeza hapo juu kwa maelezo zaidi kuhusu ombi hilo.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
M23 yaomba mazungumzo na serikali ya DRC | SBS Swahili